Success, we'll get back to you
Back to news

NIC tunaendelea kutumia majukwaa ya kidigital kutoa elimu na huduma za bima

SHARE

Ahsante kwa Wafuasi 20,000 kwenye ukurasa wetu wa Instagram na kuwa kampuni kiongozi kwenye sekta ya BIMA kufikisha idadi ya wafuasi (Followers) 20,000 #sisindiyobima


NIC tunaendelea kutumia majukwaa haya ya kidigital kutoa elimu na huduma za bima ili kufikia lengo la kuwa na idadi kubwa ya watumia huduma za bima nchini.



https://www.instagram.com/nic_insurance/

@2025

National Insurance Corporation of Tanzania Limited